Posts

Showing posts from April 9, 2017

Lau Wa John Feat Lee Classic & Zilly-Usijari.

Sikiliza wimbo mpya kutoka kwa Lau wa John Feat Lee Classic & Zilly- Usijari . Bofya hapa chini kuupakua na kuusikiliza pia. http://www.djmwanga.com/2017/03/lau-wa-john-x-lee-classic-x-zilly-usijari.html?m=1

To those who wants to Make and Earn Money Online.

Please follow the Link below in order to be directed on how to get paid when you share your link with your family members. http:// dollarsaw.com /?share=154803 Usikose kutembelea www . dbmclassic . blogspot . com / Kila mara ili kupata taarifa mbalimbali.

Nchi Ishirini Zinazoongoza kwa Mabilionea.

DUNIANI TOP 20 ya nchi zenye Mabilionea wengi zaidi Duniai . Baada ya Shirika la Fedha duniani ‘IMF’ kutangaza kuongezeka kwa uchumi wa dunia ukilinganisha na mwaka 2016, taarifa iliyoweza kutolewa April 8 2017 ikionesha list ya nchi zenye mabilionea wengi zaidi duniani kwa mwaka 2017, kwa mujibu wa tovuti ya takwimu Statista . Takwimu hizi zinaonesha kuwa;- 1.China ndiyo nchi yenye mabilionea wengi duniani ambao ni zaidi ya 609. 2.kifuatiwa na Marekani yenye mabilionea 552. 3.Ujerumani-109. 4.India-100. 5.Uingereza-89. 6.Uswizi-77. 7.Urusi-68. 8.Ufaransa-50. 9.Brazili-43. 10.Japani-42. 11.Italia-41. 12.Kanada-35. 13.Korea Kusini-34. 14.Uturuki-29. 15.Singapo-28. 16.Australia-27. 17.Tailendi-26. 18.Hispania-23. 19.Jamhuri ya Nchi za Kiarabu(U.A.E)-21. 20.Indonesia-17. Katika list hii Sweden inakamata nafasi ya mwisho ikiwa na mabilionea 17.

Roma, three Colleagues found Bruised (Strike):Lawyer.

Roma, three colleagues found bruised: lawyer . Hip hop star Ibrahim Musa a.k.a Roma Mkatoliki . @TheCitizenTz. Dar es Salaam. Hip hop star Ibrahim Musa a.k.a Roma Mkatoliki and his three colleagues who went missing on Wednesday evening after a suspected abduction were yesterday found alive in undisclosed locations and circumstances. Speaking from Mwananyamala Referral Hospital where he and the three had been taken for treatment, Roma said : “I thank Tanzanians for their support. I’m well but I can’t talk more for now. I’m waiting for police procedures. ” He promised to hold a press conference tomorrow and divulge details ". By noon yesterday, Dar es Salaam Special Zone police commander Simon Sirro told the press that the whereabouts of Roma and his colleagues was unknown. However, about an hour later, it came to light that the artistes had been found and were at the Oysterbay Police Station. However, journalists were barred from interviewing them and by 6pm, Roma’s lawyer

Roma Aongea kwa mara ya lwanza baada ya kurudi Uraiani.

MIX VIDEO: Roma aongea kwa mara ya kwanza baada ya kurudi uraiani By Millard Ayo. Msanii wa Bongofleva Roma Mkatoliki na wenzake watatu wamerudi uraiani baada ya kuripotiwa kutekwa April 5 2017 na kupelekwa kusikojulikana, baada ya kurudi uraiani ameyaongea haya hapa chini. " Siwezi kuongea mengi maana tunahitaji muda wa kupumzika nopende kuwaambia watanzania wote mimi ni mzima pamoja na wenzangu wote watatu Moni , Emma na Bin Laden hivyo pia nipende kuwashukuru watanzania wote kwa support yao japokuwa sijaweza kupita katika mitandao ya kijamii pia niweze lumshukuru ndugu Ruge Mtaaba kwa ushirikiano wake tangu asubuhi tumekuwa naye "