Mheshimiwa Raising aipongeza TanRoads kwa kuokoa TShs Bill 4. RAIS John Magufuli amepongeza timu ya wataalamu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) kwa kuokoa zaidi ya Sh bilioni 4 kwenye mradi wa ujenzi wa barabara ya lami ya Kyaka-Bugene mkoani Kagera yenye urefu wa kilometa 59.1....