JPM aipongeza TANROADS kwa kuokoa Mabilioni ya Pesa.
Mheshimiwa  Raising aipongeza TanRoads  kwa kuokoa TShs Bill  4.  RAIS John Magufuli amepongeza timu ya wataalamu wa Wakala wa Barabara (TANROADS)  kwa kuokoa zaidi ya Sh bilioni 4 kwenye mradi wa ujenzi wa barabara ya lami ya Kyaka-Bugene  mkoani Kagera  yenye urefu wa kilometa 59.1....