Posts

Showing posts from May 17, 2017

Jinsi ya Kurudisha Vitu vilivyofutwa au kupotea kwenye simu yako(Data Recovery).

Image
JINSI YA KURUDISHA DATA ZAKO ZILIZOPOTEA KWENYE SIMU Njia Za Kupata Data Zako Zilizopotea (Zilizofutwa) Katika Kifaa Cha Android! Sio kitu kipya wote tumeshawahi fanya, kwa bahati mbaya tulishawahi kufuta taarifa zetu kama vile picha au hata video. Kama ikitokea hivyo tena usikasirike, TeknoKona inakuletea njia. Sawa kama nlivyosema kuwa unaweza ukapata taarifa zako zote ambazo ulifuta kwa bahati mbaya lakini kabla ya kuzipata kuna mambo inabidi uyafanye • Usihifadhi (save) kitu kingine chochote katika simu kifaa chako au izime mpaka ukiwa unampango wa kufufua vitu vyako • Zima WiFi na njia za mawasiliano za 2G/3G ili masashisho (update) ambayo huwa yanayofanyika automatiki yasifanyike . Kumbuka kama yakifanyika, mafaili mapya yanaweza jiweka juu ya yale ambayo unataka kutafufua Tuifahamu Njia Kama Mafaili Yako Yapo Katika Memori Kadi . Ukishaona mafaili yako yamefutika bahati mbaya – au hata kwa makusudi – kitu kinachofuata ni kuunganisha kompyuta yako na simu

Barackah the Prince Mama Audio.

Image
Get&Listen new Audio from Barackah The Prince known as Mama .Click down to get it.     DOWNLOAD .

Lorenzo Feat Mesen Selekta Official Audio.

Image
Listen and Downlod an Audio from Lorenzo Featuring Mesen Selekta known as Hello   DOWNLOAD .

Lorenzo Feat Mesen Selekta Hello Official Video.

Image
Listen and Watch new Video from Lorenzo Featuring Mesen Sekekta known as Hello .Click down to WATCH & DOWNLOAD

Delta Music, Mc Koba, Averie, Divanji, Abby, Musti-Heshima Mama

Image
New Music Audio from Delta Music, Mc Koba , Averie , Divanji , Abby, Musti known as Heshima Mama .Click down to get it.      DOWNLOAD .

Kupiga Punyeto/Kujichua (Masturbation),Elimu na Jinsi ya Kuacha.

Image
NAMNA YA KUACHA KUPIGA PUNYETO {KUJICHUA} KWA WANAUME NA WANAWAKE. Hebu niambie, umeshawahi kujichua? Mara ngapi? Bado unaendelea na mchezo huo? Vipi, umewahi kusikia watu wakizungumza kuhusu suala hilo? Najua unaona aibu, hasa kama una tabia hiyo. Usiogope rafiki yangu, leo nitazungumza na wewe taratibu halafu mwisho kabisa nitakuacha na tabasamu la nguvu! Ndugu zangu, wakati mwingine kuna mambo magumu kidogo ambayo baadhi ya watu wanayaonea aibu, lakini yanaendelea kuwa tatizo kwa watu wengi. Leo tutazungumza. Amini usiamini, asilimia 90 ya wanaofanya mchezo huo, hawapendi hata kidogo. Kila wanapomaliza kujiridhisha huahidi kuacha, lakini baada ya saa kadhaa kupita, wanarudi kule kule. Kama una tabia hiyo, utakuwa unanielewa vizuri zaidi juu ya kile ninachokizungumzia hapa. Hebu twende tukaone. KUJICHUA NI NINI HASA ? Kwa Kiingereza tendo hili linaitwa ‘masturbation’ likiwa na maana ya kupiga punyeto. Hapa nimetumia kwa ulaini kabisa; kujichua. Lugha nyepesi na rahisi kufikik

Moni CentralZone Tunaishi Nao Audio.

Image
Listen new song from Moni CentralZone known as Tunaishi Nao . Click down to get it.     DOWNLOAD .