Posts

Showing posts from April 13, 2017

Raisi John P.Magufuli Ampigia Simu Nwana FA na Kumpongeza.

Image
Jioni ya April 12 2017 staa wa muziki wa hip hop bongo Hamisi Mwinjuma ambaye wengi tunamfahamu kwa jina la Mwana FA, alitoa taarifa kupitia ukurasa wake wa twitter kuoneshwa kufurahisha na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli kumpigia simu. Mwana FA ambaye kwa sasa anafanya vizuri katika radio na tv stations mbambali kwa hit single yake ya Dume Suruali amethibitisha kupigiwa simu na Rais kumwambi anakubali kazi zake. Kupitia ukurasa rasmi wa twitter wa staa huyo uliyokuwa verified aliandika “nimefurahi kupokea simu ya Mheshimiwa Rais @ MagufuliJP kunisalimia na kuniambia yeye ni mpenzi wa kazi zangu,haswa # DumeSuruali ..

Serikali yatangaza majina ya Ajira za Ualimu.

BREAKING NEWS: HAYA HAPA MAJINA AJIRA MPYA ZA WALIMU 2016/2017. Hatimaye serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza majina ya walimu walioajiriwa mwaka katika Ngazi ya Stashahada wa Mwaka 2016/2017           Bonyeza hapa kuyatazama .