Roma, three colleagues found bruised: lawyer . Hip hop star Ibrahim Musa a.k.a Roma Mkatoliki . @TheCitizenTz. Dar es Salaam. Hip hop star Ibrahim Musa a.k.a Roma Mkatoliki and his three colleagues who went missing on Wednesday evening after a suspected abduction were yesterday found alive in undisclosed locations and circumstances. Speaking from Mwananyamala Referral Hospital where he and the three had been taken for treatment, Roma said : “I thank Tanzanians for their support. I’m well but I can’t talk more for now. I’m waiting for police procedures. ” He promised to hold a press conference tomorrow and divulge details ". By noon yesterday, Dar es Salaam Special Zone police commander Simon Sirro told the press that the whereabouts of Roma and his colleagues was unknown. However, about an hour later, it came to light that the artistes had been found and were at the Oysterbay Police Station. However, journalists were barred from interviewing them a...
Maneno 39 ya Waziri Nchemba kuhusu Roma Mkatoliki . Usiku wa April 5 2017 taarifa za kukamatwa kwa msanii wa hip hop Roma Mkatolikia zilianza kuenea katika mitandao ya kijamii kwa kuandikwa kuwa Roma Mkatoliki na Moni wakiwa Studio za Tongwe Records walikuja kukamatwa na watu wasiojulikana na kuwapeleka kusikojulikana. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba ambaye ndio anahusika na usalama wa raia, ametumia ukurasa wake wa Instagram kuonesha kuguswa na tukio la kutekwa kwa Roma Mkatoliki na Moni , Waziri Nchemba ameeleza kuwa amewaagiza polisi kufuatilia na kutoa taarifa kwa umma. “ Nimeshtushwa kwa kutokuonekana kwa Msanii Roma na Wenzake mpaka sasa. Nimeshtuka zaidi nilipofuatilia na kuambiwa hakuna kituo chochote cha polisi kinachowashikilia. Nimeelekeza Polisi wafuatilie kwa karibu kujua undani wa tukio hili na hatima yao na kutoa taarifa kwa umma ” -Nchemba.
Maneno matatu ya Nape Nnauye kuhusu Roma . Baada ya mastaa mbalimbali kuguswa juu ya stori ya Roma mkatoliki na wenzake watatu kuchukuliwa na watu wasiofahamika kwenye Studio za Tongwe Records na kupelekwa sehemu isiyojulikana, sasa leo April 7 2017 Mbunge wa Mtama (CCM) Nape Moses Nnauye ameonesha hisia zake juu ya tukio hilo. Kupitia account yake ya twitter Nape Nnauye ameyaandika maneno haya matatu kuhusu Roma…>>> ”Roma! Oooooh No! ” -Nape Nnauye.
BURUDANI Waimbaji 10 waliowahi kuambiwa hawajui kuimba lakini leo ni mastaa wa Dunia. Mara nyingi watu wanaposhindwa na jambo hukata tamaa lakini kushindwa mara moja haimaanishi huwezi kufanikiwa jambo hilo ukijaribu tena na tena, leo nimekuletea list ya wanamuziki kumi waliowahi kuambiwa hawajui kuimba na leo hii ni mastaa wakubwa duniani. 1: Beyonce . Akiwa na miaka 14 tu alipelekwa na baba yake Mathew Knowles studio lakini producer alipomsikia Beyonce akiimba alimwambia hadhani kama kuimba ni kipaji chake lakini leo hii Beyonce ni miongoni mwa waimbaji wakubwa duniani akiwa na thamani ya zaidi ya dola za kimarekani Milioni 600 na kuuza zaidi ya rekodi milioni 34. 2: Shakira . Shakira ni miongoni mwa waimbaji wenye mafanikio makubwa dunia akiwa na thamani ya zaidi ya dola milioni 220 na kuuza rekodi zaidi ya milioni 60 duniani kote lakini aliwahi kukataliwa kujiunga na kikundi cha kuimba kwaya kanisani na mwalimu wake wa muziki kumwambia ana sauti mbaya inayofanana na mbuzi...
Comments