Popular posts from this blog
Download Audio: Nicki wa Pili Feat G Nako Quality Time.
Download Audio|Mo Music Feat Baraka Da Prince-
Amos and Josh Feat King Kaka Baadaye.
Audio Download|Snura Feat Christian Bella-Zungusha.
Video Watch&Download|Rosa Lee-Dow.
Maneno ya Nchemba Kuhusu Roma.
Maneno 39 ya Waziri Nchemba kuhusu Roma Mkatoliki . Usiku wa April 5 2017 taarifa za kukamatwa kwa msanii wa hip hop Roma Mkatolikia zilianza kuenea katika mitandao ya kijamii kwa kuandikwa kuwa Roma Mkatoliki na Moni wakiwa Studio za Tongwe Records walikuja kukamatwa na watu wasiojulikana na kuwapeleka kusikojulikana. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba ambaye ndio anahusika na usalama wa raia, ametumia ukurasa wake wa Instagram kuonesha kuguswa na tukio la kutekwa kwa Roma Mkatoliki na Moni , Waziri Nchemba ameeleza kuwa amewaagiza polisi kufuatilia na kutoa taarifa kwa umma. “ Nimeshtushwa kwa kutokuonekana kwa Msanii Roma na Wenzake mpaka sasa. Nimeshtuka zaidi nilipofuatilia na kuambiwa hakuna kituo chochote cha polisi kinachowashikilia. Nimeelekeza Polisi wafuatilie kwa karibu kujua undani wa tukio hili na hatima yao na kutoa taarifa kwa umma ” -Nchemba.
Dickson Eremiah-Nakupenda Sana Praise & Worship Song.
Maneno Matatu ya Nape Kuhusu kutokuonekana kwa Roma.
Maneno matatu ya Nape Nnauye kuhusu Roma . Baada ya mastaa mbalimbali kuguswa juu ya stori ya Roma mkatoliki na wenzake watatu kuchukuliwa na watu wasiofahamika kwenye Studio za Tongwe Records na kupelekwa sehemu isiyojulikana, sasa leo April 7 2017 Mbunge wa Mtama (CCM) Nape Moses Nnauye ameonesha hisia zake juu ya tukio hilo. Kupitia account yake ya twitter Nape Nnauye ameyaandika maneno haya matatu kuhusu Roma…>>> ”Roma! Oooooh No! ” -Nape Nnauye.
Comments